Skip to main content

Posts

Showing posts from July, 2015

Picha na matukio wakati wa Ufunguzi wa Mkutano wa Vijana Taifa Iringa

                Mwenyekiti BCT Mchungaji A. Manase akihubiri Injili wakati wa ufunguzi wa mkutano wa vijana Iringa                  Chini kwenye picha na Mwenyekiti wa vijana Taifa Bw Julius Mkapa akifuatilia

HOTUBA YA UFUNGUZI MKUTANO MKUU VIJANA WA BAPTIST TANZANIA 2015

TUMEITWA KUTUMIKA Hii ni kauli mbiu ya mwaka 2015 kwa vijana wa Kanisa la Baptist Tanzania. Mwenyekiti wa makanisa ya Kibaptist Tanzania Mch Arnold Manase, alifungua mkutano huo leo tarehe 2 July, 2015 majira ya saa 7:01 akiongea kwa takribani saa nzima amewaasa na kuwakumbusha vijana wa Jumuiya Kuu ya Wabaptist Tanzania kwamba WAMEITWA KUTUMIKA , amesema hii ni karne ya kujenga kanisa lenye nguvu na lenye waumini wengi. Hii ndio dira ya dhehebu kwa mwaka 2015-2020. Na kwamba ili uwe na kanisa lenye nguvu na lenye waumini wengi lazima  1.        Uwe na nguvu ya uchumi 2.        Uwe na watenda kazi imara 3.        Vjana wamjuao Mungu 4.        Vijana wanaotembea na Mungu 5.        Vijanawanaoweza kuishawishi Jamii na kuiletea mabadiliko 6.        Na Uwe na vijana wawajibikaji Akisoma k...